Robert Alai
Insulting Raila is what Uhuru can do. He hasn't realise the value of the
Presidency. Adolescent president. This seat needs maturity.
— Robert ALAI (@RobertAlai) December 12, 2014
Tweets zilizonukuliwa hapo juu na chini ndizo zilizomfikisha kortini
mwanablogu maarufu na mwenye utata wa Kenya kwa madai kuwa
amemdhalilisha rais.
No public leader should have private contacts. Resign and go to private sector if you don't want your contacts public. #KainukSiege
— Robert ALAI (@RobertAlai) December 14, 2014
Siku hiyo aliyomwita rais jina hilo, pia akaweka namba za simu za rais na baadhi ya maafisa waandamizi.
Kindly note that Robert Alai was arrested as a matter of National
Security and the rule of law will be applied in dealing with him.
— PresidentialEscortKE (@EscortKE) December 16, 2014
Robert Alai, mkosoaji mkali wa serikali, alikana mashtaka hayo na kuachiwa kwa dhamana kwa dola za Kimarekani $2,000 na kuamriwa kutokuweka ujumbe unaofanana na huo wakati uchunguzi ukiendelea.
CID HQ summoning, Central Police summoning, NBI area summoning. Its like everybody wants to please the President. #KuweniSerious
— Robert ALAI (@RobertAlai) December 15, 2014
Bw Alai ni miongoni mwa wanablogu maarufu na wenye ushawishi mkubwa Kenya akiwa na wafuasi 140,000 kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Bw Alai tayari ana wengi wanaomwuunga mkono kwenye mtandao wa kijami wa Twitter kutoka kwa Wakenya wanaoona mashtaka hayo kama mbinu ya serikali ya kuzuia uhuru wa vyombo vya habari.
Alipotolewa tu kwa dhamana, aliandika kwenye Twitter kuwa itakuwa ngumu kumnyamazisha.
Miaka miwili ilyopita, alikamatwa na kuhojiwa baada ya kudai kuwa msemaji wa serikali ya wakati huo alikuwa akipanga kumwuua.
Miaka miwili ilyopita, alikamatwa na kuhojiwa baada ya kudai kuwa msemaji wa serikali ya wakati huo alikuwa akipanga kumwuua.
- via SwahiliBuzz: BLOGGER WA KENYA MATATANI KWA 'KUMTUKANA' RAIS UHURU
0 TOA MAONI YAKO HAPA.:
Post a Comment