Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika uwanja
wa ndege wa Maputo kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa
Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kesho mjini Maputo. Bwana Nyusi anachukua
hatamu za uongozi kutoka kwa Rais Armando Emilio Jacinto Guebuza
anayemaliza muda wake.
Picha: Freddy Maro/Ikulu
Picha: Freddy Maro/Ikulu
0 TOA MAONI YAKO HAPA.:
Post a Comment