Thursday, January 15, 2015

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Maputo kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kesho mjini Maputo. Bwana Nyusi anachukua hatamu za uongozi kutoka kwa Rais Armando Emilio Jacinto Guebuza anayemaliza muda wake.



Picha: Freddy Maro/Ikulu

0 TOA MAONI YAKO HAPA.:

Subscribe to RSS Feed Follow me on Twitter!